Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi bado kuna watu mnasikiliza nyimbo za Koffi!!! Ni pm nikutupie vibao balaa vya Ferre Gola alivyotoa mwaka huu akipewa shavu na vijana wake Chikito na Fabrigas. Huwa nikivisikiliza najikuta nasinzia hata kazini kwa namna jamaa anavyolalamika kwa sauti nzito baadae anailainisha kwa ustadi usio na kipimo .
Mapenzi na mahaba kaka.
Hivi bado kuna watu mnasikiliza nyimbo za Koffi!!! Ni pm nikutupie vibao balaa vya Ferre Gola alivyotoa mwaka huu akipewa shavu na vijana wake Chikito na Fabrigas. Huwa nikivisikiliza najikuta nasinzia hata kazini kwa namna jamaa anavyolalamika kwa sauti nzito baadae anailainisha kwa ustadi usio na kipimo .
Kwanza fabrigas hajawahi kuimba kwa bendi ya ferre gola kwani alitokea kwa werrason na kwa sasa anamiliki bendi yake ila chikito ameshaondoka kwa ferre gola pamoja na kina rkelly na nicodemus ambao wameenda kwa werrason ila ndio ferre gola anaimba lakini huwezi kumfananisha na koffi kwani koffi anamchango mkubwa sana kwenye mziki wa kikongo na mziki anaufahamu kweli