habari zenu wakuu!
Naomba kujua huyu jamaa mahali alipo. Halafu alikua na studio yake inaitwz 'tetemesha records' kazi zake hata sizisikii. Pia niliwahi kusikia alivamiwa na majambazi sijui ilikuwaje? Mwenye taarifa hizi naomba anijuze tafadhali
mshua
yuko chooni anaknya
Nimechekaa balaaaaa
unacheka ujinga?
Achana na mimii unataka niliee mfyuuuuuuu
Nasikia hiyo mishungi imepigwa marufuku Ufaransa.
Achana na mimii unataka niliee mfyuuuuuuu
So nikusaidiajeee labda ya ufaransa yananihusu nini miee
Sandu George a.k.a Kidbway kwa sasa anafanya kazi katika kampun ya Bongo5 Media Group kampuni inayomiliki jarida la Mzuka pamoja na mtandao wa www.bongo5.com,pia Fredrick Bundala a.k.a Skywalker nae kaajiriwa Bongo5.Habari zenu wakuu!
Naomba kujua huyu jamaa mahali alipo. Halafu alikua na studio yake inaitwz 'Tetemesha Records' kazi zake hata sizisikii. Pia niliwahi kusikia alivamiwa na majambazi sijui ilikuwaje? Mwenye taarifa hizi naomba anijuze tafadhali
Mshua
uache kucheka upumbaf