Ester505 JF-Expert Member Joined Jul 14, 2020 Posts 793 Reaction score 1,049 Nov 13, 2023 #1 Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi? Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi? Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi? Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi? Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
nzalendo JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 12,106 Reaction score 12,916 Nov 13, 2023 #2 Watakujuza toka zenj mpaka kunako mpeketoni
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Nov 13, 2023 #3 Mkuu watu wa. TANTRADE wana majibu yote. Ingia web yao utapata contacts zao
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Nov 13, 2023 #4 Kila la kheri mkuu!
Akhi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2021 Posts 3,380 Reaction score 5,906 Nov 13, 2023 #5 Mkuu nimekupm njoo tuongee zaidi
Kalaga Baho Nongwa JF-Expert Member Joined Sep 27, 2020 Posts 9,953 Reaction score 23,150 May 10, 2024 #6 Akhi said: Mkuu nimekupm njoo tuongee zaidi Click to expand... Unahitaji au
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 May 10, 2024 #7 Duh kipindi niko mafia kg1 ilikuwa tsh 200,hivi sahv bei ikoje? Ova