Naomba kujua Kiswahili fasaha cha neno "Funnel"

Naomba kujua Kiswahili fasaha cha neno "Funnel"

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Kwenye Kamusi ya mtandaoni neno Funnel limetafsiliwa km "bomba".Je ni sawa au kuna neno lingine sahihi?
 
Neli mtoleo/mrija. Hiyo ni jargon nenno la kitaalamu kwenye field fulani. Kwahiyo nenno fasaha ni neli mtoleo. Neno sanifu linaweza kuwa hilo bomba

Fasaha kama ulivyo uliza. Sanifu kama ulivyojibiwa na kamusi
 
Kumbe ushapewa maana...sisi ni nani tupinge Google
Tanzania bara bomba ina maana nyingi.Kuna bomba ya maji,bomba la nguzo n.k Ndo maana naomba msaada kwa wabobezi je ni sahihi Funnel kuitwa bomba au kuna jina lake!
 
Neli mtoleo/mrija. Hiyo ni jargon nenno la kitaalamu kwenye field fulani. Kwahiyo nenno fasaha ni neli mtoleo. Neno sanifu linaweza kuwa hilo bomba

Fasaha kama ulivyo uliza. Sanifu kama ulivyojibiwa na kamusi
Duuuh[emoji15][emoji15][emoji15]
 
Tanzania bara bomba ina maana nyingi.Kuna bomba ya maji,bomba la nguzo n.k Ndo maana naomba msaada kwa wabobezi je ni sahihi Funnel kuitwa bomba au kuna jina lake!
Mbona maisha hayako serious kiasi hiko weka “bomba” amsha kadeal na mambo mengine
 
Kwenye Kamusi ya mtandaoni neno Funnel limetafsiliwa km "bomba".Je ni sawa au kuna neno lingine sahihi?
"Funnel" bila kupepesa macho kwa kiswahili fasaha inaitwa "Chirizi" mkuu.

Umenikumbusha msamiati wa Kiswahili enzi hizo darasani mkuu.[emoji23][emoji23]
 
"Funnel" bila kupepesa macho kwa kiswahili fasaha inaitwa "Chirizi" mkuu.

Umenikumbusha msamiati wa Kiswahili enzi hizo darasani mkuu.[emoji23][emoji23]
Kumbe Kiswahili ni tatizo kwa wengi kinyume na tunavyodhani
 
Tanzania bara bomba ina maana nyingi.Kuna bomba ya maji,bomba la nguzo n.k Ndo maana naomba msaada kwa wabobezi je ni sahihi Funnel kuitwa bomba au kuna jina lake!
Pia Bomba ni wimbo wa msanii kayumba na pia kuna vifurushi BOMBA toka tigo
 
Back
Top Bottom