Naomba kujua kuhusu hali ya maisha ya wilaya ya Musoma mjini

Naomba kujua kuhusu hali ya maisha ya wilaya ya Musoma mjini

jonas255

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
225
Reaction score
110
Nahitaji kuhamia Musoma naombeni ushauri wenu wenyeji wa uko. Vitu navyotaka kujua ni:
A) Bei ya kupanga chumba na sebule
B) Hali ya uchumi wa musoma
C) Hali ya mzunguko wa fedha
D) Kilimo kinacholimwa musoma
E) Gharama ya maisha, vyakula na nguo

Akhsanteni
 
Kwani wewe unatoka wilaya gani? pia Google uone wilaya musoma ni ya ngapi ktk wliya zilizo chini kiuchimi,
 
Hali ya uchumi ni ya kawaida,vyumba elf 30,40,50 nk

Kilimo...Mahindi,mihogo,pamba,mchele,viazi vitamu,mtama isipokuwa baadhi ya maeneo mvua majira yake ayaaminiki
 
Vyumba huwaga sio ghali sana, kwa 50k utapata chumba kizuri tu
 
Musoma mji una pesa za uvuvi, kilimo,ufugaji, magendo,viwanda,utalii uko katikati ya mkoa tajiri wa dhahabu yaani mwanza na nchi tajiri east africa kenya. hata nchi ya jirani kenya chochote waweza enda uza kenya, ni karbu sana unaweza kula kenya lunch ukalala musoma, wanawake wa kitusi ni wengi lkn kumpata ni kazi,
kunanjia2 za kuktua kenya Ziwa, barabara, ndege, underground local train.njia zamwendo wa miguuu
 
sorry kitongoji cha kamunyonge ndo kila kitu soko kubwa sana lipo hapo. hosp ya haliya juu ya SDA karibu na jeshi ipo hapa wana air ambulance km utahitaji kusafirishwa,wakimbizi wengi wako hapa
NHC ya mfano ipo hapa. bar zilizotulia hapa
watalii wengi hufikiaga hapa
maofisa waserikali huja hapa kula
ipo krb na air port
bandari
nyumba ziko kwa mpangilio
hkn uswahili
upepo mzuri mji mzima
miti yenye macho
 
Wa hovyo kweli.
wewe lazima ulikuwa muongo muongo, mnafiki, mchoyo,mzinifu umimi

onyo ukiishi huku kama uko hivi usiende;

jamani umbea utakufa na kuzikwa kusiko julikana dakika tu na usowajua, kukaaa vibarazani na kuteta bila sababu, kubeba wake za wenyewe. ubabe wa kisharo wa kibongo, maneno meengi. chabo jamani chaabo, kama mke wa mtu anaoga kando ya barabar Au ziwani wewe pita na zako siyo umtumbulie mimacho ni chabo.
 
TANZANIA nzima umekosa sehemu ya kutafutia maisha mpaka uende musoma,bora uhami8e mbuga ya mikumi ukaishi na tembo.
 
Back
Top Bottom