Naomba kujua kuhusu hi course VETERIAN MEDICINE

daniel danya

Member
Joined
Aug 21, 2014
Posts
71
Reaction score
2
Kwa anaye jua lolote kuhusu hii course aniambie jamani kama vile
1) soko la ajira lipoje

2) mtu anae anza kazi mshahara wake upoje

3) maeneo gani mtu alie soma hii course anaweza fanyia kazi

4) ugumu wa course na urahisi wake

5) mbinu zake za kusoma ikitokea umechaguliwa

6) field unaeza pigia sehemu gani

Na kingine unachojua kuhusu hiyo kitu plzzzz msaada wako naombaa kama umeisoma aua unafahamu ambao wanasom au walio kwisha soma tuambiane
 
chuo sua;ajira zipo ila shule yake ngumu sana,unadili na magonjwa ya wanyama
 
unapaswa kusoma kwanza kaka mbona unawazia mshahara wakati hata hujasoma kumbuka ukisoma utakuta mazingira pia ya ajira yamebadilika halafu hiyo kozi ni kama udaktari wa binadau sema hiyo ni kwawanyama inachukua kusoma kwa muda wa miaka 5.......ajira zake zipo tu wala usihofu chamsingi omba Mungu uchaguliwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…