Naomba kujua kuhusu hili la kutolipa pesa branch

Sizani kama wanaweza kukufanya chochote wakati mimi nimewaliza voda m-pawa hawajawahi hata kuniletea mgambo na line yao iko hewani kila siku
 
Andaa ndo nzuri yakunyea ili usiende kushea na machizi wa kule...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…