Habarin wanaJF,
Wakuu mim naomba kufahamu mambo mawili kuhusu ujauzito
1. Mwanamke akishapata mimba tunaanzaje kuhesabu siku? Tunahesabu kuanzia alipopata ujauzito au tunahesabu toka alivyoanza period?
2. Vyakula gani au vitu gani asitumie wakati akiwa mjamzito?
Naomba mnisaidie watalaam wa mambo haya.