Wana jamvi naomba kufahamu kuhusu hali ya kitaaluma na nidhamu ya wanafunzi.
Nimeomba kujua maana nina mtoto wa ndugu yangu ananishangaza hasa kwa tabia, nahisi morogoro sek ya sasa ni ya hovyo kuliko miaka ya zamani .
Tafadhali anayeifaha vyema atusaidie.
Nawasilisha.