Naomba kujua kuhusu morogoro sekondari

GREATTHINKERDAIMA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
232
Reaction score
46
Wana jamvi naomba kufahamu kuhusu hali ya kitaaluma na nidhamu ya wanafunzi.

Nimeomba kujua maana nina mtoto wa ndugu yangu ananishangaza hasa kwa tabia, nahisi morogoro sek ya sasa ni ya hovyo kuliko miaka ya zamani .

Tafadhali anayeifaha vyema atusaidie.

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…