kimsingi nimefanya baadhi ya literature review juu ya hii issue na bado naendelea nayo, ila inaonekana ni methods mbili zilizo na mitazamo miwili tofauti na kila njia ikiwa na advocates wake. Ila pia wapo wanatetea kuwa investor anaweza kutumia njia zote mbili kwa wakati mmoja. Naomba kama kuna watu ambao watakuwa tayari kufanya literature reviews kuhusu hii mambo na later on tuje kudiscuss hapa itakuwa ni njema kwa ajili yetu na uchumi wa taifa kwa ujumla.
Stock market kwa maana ya DSE ni moja ya platform muhimu kwa sasa kwa issue za uwekezaji. hivyo kuwa na maarifa yake kunafungua milango ya fursa ya kutengeneza faida.