Bilaly Junior
Member
- Jan 28, 2015
- 41
- 33
Kwanza kwa kuanzia nikusahihishe kwamba siyo close cheque au closed cheque na badala yake inaitwa crossed cheque. Ukipewa cheque ya aina hii ufikapo bank hautapewa cash hapo hapo na badala yake utatakiwa kuiweka (deposit) kwenye akaunti yenye jina lililoandikwa kwenye hiyo cheque.Habari ndugu wana jamvi. Naomba kujua tofauti iliyopo baina ya open cheque na close cheque. Ni vigezo vipi unastahili ili kulipwa open au close cheque? Je ni kweli fedha za serikali hazipaswi kulipwa kwa open cheque?
Chakula ya ubongo 06:52Kwanza kwa kuanzia nikusahihishe kwamba siyo close cheque au closed cheque na badala yake inaitwa crossed cheque. Ukipewa cheque ya aina hii ufikapo bank hautapewa cash hapo hapo na badala yake utatakiwa kuiweka (deposit) kwenye akaunti yenye jina lililoandikwa kwenye hiyo cheque.
Kwa upande wa open cheque ukiwa nayo unapofika bank unapewa cash hapo hapo na pia kama iko katika jina lako unaweza ukaandika jina la mtu mwingine, ukasaini na kisha huyo uliyemwandika jina lake akaenda bank na kutapewa cash.
Nenda benki yoyote waambie nataka kufungua akaunti inaitwa Current Account .Ukishafungua watakupa kitabu Cha cheque.Utaratibu wa cheque upoje..kuanzia kumiliki ,kufungua,kulipa kwa mtu n.k
Ukishakuwa na kitabu Cha cheque waweza mlipa yeyote kwa cheaue. Kama una hela kwenye akaunti.Wenye pesa zao huwa hawabebi maburungutu ya pesa anakuandikia cheque biashara imeisha.Cheque Ni ya watu waaminifu Sio matapeli hivyo usishangae mwingine hata ukimwandikia cheque aweza kataa sababu aweza hisi pesa huna unamwandikia cheque hewa.Serikalini cheque zao huwa crossed lengo kutunza Ushahidi usije ruka baadaye kuwa hukulipwa.Unapewa ukaweke kwenye akaunti yako kwanza ndio utoeUtaratibu wa cheque upoje..kuanzia kumiliki ,kufungua,kulipa kwa mtu n.k
Habari ndugu wana jamvi. Naomba kujua tofauti iliyopo baina ya open cheque na close cheque. Ni vigezo vipi unastahili ili kulipwa open au close cheque? Je ni kweli fedha za serikali hazipaswi kulipwa kwa open cheque?
Je ni kweli hela za serikali huwa hazilipwi kwa open cheque?Cheque/ Hundi zipo za aina mbili kama ulivyozitaja hapo juu isipokua hiyo moja inaitwa crossed cheque.
1. Open cheque, inaandikwa jina la mlipwaji binafsi na sio kampuni, shirika au kikundi. Hii ukipewa unaenda benki husika ya aliyekuandikia cheque unapewa pesa hapo hapo dirishani.
2. Crossed cheque, hii inaweza kulipwa kwa mtu au kampuni. Tofauti yake ni kwamba, haupewi pesa mkononi, unatakiwa uiweke kwenye akaunt ya benki yako. Hapo itachukua takriban siku mbili ili uweze kuipata pesa yako.
Pia siku hizi malipo ya hizi cheque hazizidi 10 M.
Baadhi ya benki kama sio zote siku hizi hata ukilipwa open cheque wanasumbua kulipa, wanasema uwe na akaunt nao au aliyekulipa akutambulishe kwao. Huu ni usumbufu na kinyume cha taratibu. Huenda wizi na udanganyifu umepelekea hii hatua. Wanasema hawalipi third party.
Sio kweli hela za serikali zinalipwa pia kwa open cheque wale waliofanya kazi Halmashauri wanaelewa Mkurugenzi anasinya na Mhasibu mnavuta mpunga hapo hapo. Ila ki uhalisia ckuhiz open cheque zinazingua ukienda bank wanakuambia lazma wadeposit kwny account yako....Je ni kweli hela za serikali huwa hazilipwi kwa open cheque?
Je ni kweli hela za serikali huwa hazilipwi kwa open cheque?