Naomba kujua kuhusu Sport tyres na rim za magari

Naomba kujua kuhusu Sport tyres na rim za magari

Stiffler88

Senior Member
Joined
Apr 23, 2017
Posts
158
Reaction score
504
habari Jf

Nataka kufunga sport rim kwenye Nissan Note, naweza kubadili tyre na rim kwa pamoja sio issue sana kwangu, mwenye kujua naomba anijuze Bei (huwa sielewi mtu akisema mf laki 8 zinakua rim zote 4 au moja) zipoje na mchanganuo wake na pia ubora maana nmeambiwa kuna used na mpya naskia mara mpya ni zinaharibika haraka wengine wanasema kuna mchina na original.

Mtaalam mkali wa izi vitu atakua amenisaidia sana kufanya maamuzi yenye tija kwa kunipa maelezo. Nimeenda sehem kama Kijitonyama na Kkoo kuzunguka lakin sijapata mtu wa kunipa taarifa za ndani kuhusu ubora wa rim na uhalisia wa bei ulivo maana najua nikienda kichwa kichwa ntapigwa bila kujua.
Msaada wa taarifa. ASANTENI SANA
 
Natamani MTU angekujibu haya maswali yako, nami ningefaidi

Sent from Moto G
 
soma kwa makini hapa;
- Rims zipo za size tofauti, unaanza kwanza kujua size ya rims kwenye gari zako then ndio utafute tairi, kwa nissan note nashauri ufunge rims size 15 ambayo bei yake ni 120000 to 150000 kutegemeana na aina.
- Ni kweli kuna rims sio bora na huwa baadhi zinatabia ya kukatika, na kuna ambazo ni bora na zinadumu miaka mingi sana, nakushauri utafute rims ambazo zimetoka kwenye kampuni za magari mfano; Toyota, bwm, Nissan n.k
- baada ya kupata rims ndipo unaweza kuwaza tairi(kiatu), tairi nyingi za size 15(rims size) huwa zinakuwa na bei nzuri kulingana na tyre width na tyre aspect ratio(profile) mfano Nissan note tyre size yaweza kuwa 195/60R15 . tyre nying za rims size 15 waweza pata kwa bei kuanzia 90000 to 160000 kulingana na brand, brand nying za kichina mfano; goodride, linglong,double star, gt radial, jinyu, chengshang, boto, n.k waweza pata kwa 100000 na ukiweza kubargain inakuwa chini ya hapo but goodride hatakubali. kwa brand ambazo ni quality kama Michelin, Dunlop, pirelli, Goodyear, bf Goodrich, bridge stone, Yokohama, bei yake inakuwa juu sanaa na zinadumu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
soma kwa makini hapa;
- Rims zipo za size tofauti, unaanza kwanza kujua size ya rims kwenye gari zako then ndio utafute tairi, kwa nissan note nashauri ufunge rims size 15 ambayo bei yake ni 120000 to 150000 kutegemeana na aina.
- Ni kweli kuna rims sio bora na huwa baadhi zinatabia ya kukatika, na kuna ambazo ni bora na zinadumu miaka mingi sana, nakushauri utafute rims ambazo zimetoka kwenye kampuni za magari mfano; Toyota, bwm, Nissan n.k
- baada ya kupata rims ndipo unaweza kuwaza tairi(kiatu), tairi nyingi za size 15(rims size) huwa zinakuwa na bei nzuri kulingana na tyre width na tyre aspect ratio(profile) mfano Nissan note tyre size yaweza kuwa 195/60R15 . tyre nying za rims size 15 waweza pata kwa bei kuanzia 90000 to 160000 kulingana na brand, brand nying za kichina mfano; goodride, linglong,double star, gt radial, jinyu, chengshang, boto, n.k waweza pata kwa 100000 na ukiweza kubargain inakuwa chini ya hapo but goodride hatakubali. kwa brand ambazo ni quality kama Michelin, Dunlop, pirelli, Goodyear, bf Goodrich, bridge stone, Yokohama, bei yake inakuwa juu sanaa na zinadumu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kaka kwa maelezo ya kina , umenifungua macho sana kuhusu bei, nlikua nawaza za juu zaidi kumbe sio hivyo. Asante sana kwa ushauri Countrywide
 
Andaa kama laki 5 hadi 6 kupata seti nzima ya rims. Tyre pia weka around 480K (pigia 120K @). Hapo utakuwa umemaliza
 
Natafuta rims hizi na tairi zake brands kubwa.
20F79EFD-7869-4C0F-B15D-6C1444FF365B.jpeg
1AB497DA-2CCB-423A-BAE5-05240F4A4407.jpeg
C9FC9429-F686-4EBD-A7BC-02EB4DBB0316.jpeg
 
soma kwa makini hapa;
- Rims zipo za size tofauti, unaanza kwanza kujua size ya rims kwenye gari zako then ndio utafute tairi, kwa nissan note nashauri ufunge rims size 15 ambayo bei yake ni 120000 to 150000 kutegemeana na aina.
- Ni kweli kuna rims sio bora na huwa baadhi zinatabia ya kukatika, na kuna ambazo ni bora na zinadumu miaka mingi sana, nakushauri utafute rims ambazo zimetoka kwenye kampuni za magari mfano; Toyota, bwm, Nissan n.k
- baada ya kupata rims ndipo unaweza kuwaza tairi(kiatu), tairi nyingi za size 15(rims size) huwa zinakuwa na bei nzuri kulingana na tyre width na tyre aspect ratio(profile) mfano Nissan note tyre size yaweza kuwa 195/60R15 . tyre nying za rims size 15 waweza pata kwa bei kuanzia 90000 to 160000 kulingana na brand, brand nying za kichina mfano; goodride, linglong,double star, gt radial, jinyu, chengshang, boto, n.k waweza pata kwa 100000 na ukiweza kubargain inakuwa chini ya hapo but goodride hatakubali. kwa brand ambazo ni quality kama Michelin, Dunlop, pirelli, Goodyear, bf Goodrich, bridge stone, Yokohama, bei yake inakuwa juu sanaa na zinadumu sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
well said bro. Ushauri mzuri
 
Back
Top Bottom