Naomba kujua kuhusu telexfree

nyangwe

Senior Member
Joined
Oct 3, 2010
Posts
164
Reaction score
30
Habar, wadau nipo kwenye semina ya Telexfree, si waelewi elewi, maana nawaona kama DEC.
vip kuna mtu mwenye detailed information.please i need a help kabla ya kujiunga, ahsante
 
Habar, wadau nipo kwenye semina ya Telexfree, si waelewi elewi, maana nawaona kama DEC.
vip kuna mtu mwenye detailed information.please i need a help kabla ya kujiunga, ahsante

:angry:
Search jamiiforum vizuri imeshajadiliwa sana.
Hata google pia watakusaidia.
Kama huwezi vyote sema.
 
Ahsante Mdau nimekuelewa, ila kwanini nchi hii watu wanafanya mambo ya kuwarubuni raia na kufanya semina kivile halafu wanaachwa wakati usalamataifa upo? so Sad, naililia nchi yangu Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…