donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Kama upo Dar nenda pale Ruvu Ranch ya taifa wanafuga Farasi au kukosi cha Farasi FFU watakupa ufafanuzi. Usisahau kutupa mrejesho tafadhali.Salam wakuu,
Habari za jioni? Kama kichwa kiavyojieleza hapo, ningependa kufahamu kwa kina kuhusu ufugaji wa farasi, changamoto zake, upatikanaji na breed iliyo bora
Ffu mkuu? Mmmh ngoja nikajaribu ranchKama upo Dar nenda pale Ruvu Ranch ya taifa wanafuga Farasi au kukosi cha Farasi FFU watakupa ufafanuzi. Usisahau kutupa mrejesho tafadhali.
Mimi nitakusindikiza usihofu mkuu[emoji1787][emoji1787]Ffu mkuu? Mmmh ngoja nikajaribu ranch
Naona watu mnamtisha mwenzenu
Nilipita hapo naelekea kwa mbunge aisee nimeona hayo majani na hao farasi mkuu walinivutia sio siri.Hapa kiluvya madukani njia ya kwenda kisarawe baada tu ya line kubwa ya umeme Kuna mzee anafuga hao farasi na pia anafuga mifugo mingine na kwa kumwangalia ana uwezo wa kawaida tu ila anafuga na Ni mtu social maana nilishawahi kuongea naye kuhusu majani flani ameotesha na akanipa ufafanuzi tu mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Story za vijiweniBei yake kubwa sana gharama zake za kumfunga kwa mwezi nikama mtu mwenye TOYOTA Land cruiser V8.
Nilikuwa na Mpango wa kununua ist niifanye ubber ngoja nikanunue farasi chapWapo kwenye ranch za Narco, bei ni 6m, bila viatu vyake
Sasa ml 6 si ni pesa ya kawaida tu Ina maana Dume na jike 12m Kama umedhamiria mbona unafuga tu haoWapo kwenye ranch za Narco, bei ni 6m, bila viatu vyake