Naomba kujua kuhusu Vijiji au Miji inayotembelewa na Tume ya Katiba mpya vina sifa gani ya ziada

Jicho la Tai

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2012
Posts
1,450
Reaction score
600
Naomba kujua kuhusu Vijiji au Miji inayotembelewa na Tume ya Katiba mpya vina sifa gani ya ziada. Nimejaribu kufuatilia baadhi ya wadau wa mitandao hasa Facebook na Kukuta kuwa wanalalamika Tume inaenda sehemu ambazo hazina uelewa mkubwa wa katiba na vina upendo wa dhati na vyama fulani. Mwenye data za vijiji naziomba hata baadhi tu ili tupate mwanga wa kufuatilia kiundani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…