Naomba kujua kuhusu yafuatayo...

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Bei ya sigara pakti nzima ni shilingi ngapi kwa sigara pendwa hapa nchini naomba mwenye kuelewa anisaidie hapa tafadhali.

Nikipata bei ya pakti za sigara kampun zote zilizopo nchini ntashukuru.

THANK YOU.
 

Tanzania ya sasa inatengenezwa kuwa jehanum ya mashetani. Watu wameondolewa roho ya upendo, umoja na utaifa. Sasa imebaki kuwindana. Watu wamekuw amakatili kuliko mazimwi. Ulimwengu kama shamba la wanyama pori. Mwenye mwanya anaonea wengine kwa hasira na ubabe. Wanyonge nao hawana pa kusemea wanabaki na uchungu mioyoni wakitafuta fursa ya kulipa visasi.

Hili suala ni kivuli cha maisha ya kukomoana, kuoneana na kulipizana visasi visivyo na mipaka kama geto la wahuni wasio na kiongozi wala usimamizi.

Suala la Makonda halikupashwa kuwa la kubwa kwa kiwango cha kuwazidi magushaji wote. Serikali pia ilipashwa kuchukua hii kama feedback kwamba kumbe pamoja na uhakiki inawezekana kuna matatizo hayajawekwa wazi. Inawezekana ufisadi unafanywa kwa mitindo mingi. Inawezekana ndani ya ccm na serikali kuna waharifu wengi na hivo kuchukua hatua makini za kitaalam na zenye tija za kuondoa tatizo.

Ukimya wa serikali na kuonyesha kukumbatia chama na maasi yak e badala ya haki , katiba na kweli, kunaizidisha matabaka na chuki zake, kunaodoa umoja na mshikamano wa kitaifa. Kwa kuwa serikali inaonyesha kugawa watu na kukumbati amaovu huku ikionea watu wengine kibabe, kinachofuata ni kama kilichopo ch awatu kuchukua hatua mikononi kwa lengo la kulipiza visasi na kujilinda. Kwa sasa limeanza katika ngazi ya wezi wa kuku. Sasa watu wanapiga kelele lakini serikali kiziwi/sijui sikivu, inadharau kelele za watu kwa kuwa inasilaha. Na tunakoelekwa hawa wanaoona hawatendewi haki au wanaumizwa kwa kubaguliwa, watachukua hatua mmikononi za namna nyingie na ndipo mtakapoona kwa nini biadamu naye yuko katika kundi la wanyama.

Serikali iache kudharau watu kwa sababu amani intuzwa na watu na wala siyo polisi.
 
Mkuu inategemeana na unapoipata...

Sehemu nyingi Embassy zinauzwa 3000 alafu zingine zinazotengenezwa hapa Tz ni 2400.

Pia kuna za kutoka nje ambayo zenyewe hutofautiana kutokana na ubora na nchi zinazotoka.

Je, unataka za kuziuza au kutumia?
 
Onyo , sigara ni hatari kwa afya yako bora bange[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…