Naomba kujua kura ya kumchagua mwenyekiti itakuwaje??

Naomba kujua kura ya kumchagua mwenyekiti itakuwaje??

materuni

Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
55
Reaction score
7
Wadau heshima kwenu
Napenda kujua kesho kura ya kumchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la katiba itakuwaje?? maana nimeona watu wakishabikia kuahirishwa kwa kifungu cha kanuni kinachoelekeza namna ya kupitisha maamuzi kwenye bunge hilo sasa kama kifungu hicho kimeahirishwa, kura za kumchagua mwenyekiti zitakuwa za wazi au za siri?? naomba mwenyekujua anisaidie au anieleweshe.
 
kura ya siri ndio mpango mzima!
ccm wanapoteza muda kudai kura ya wazi
 
Wadau heshima kwenu
Napenda kujua kesho kura ya kumchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la katiba itakuwaje?? maana nimeona watu wakishabikia kuahirishwa kwa kifungu cha kanuni kinachoelekeza namna ya kupitisha maamuzi kwenye bunge hilo sasa kama kifungu hicho kimeahirishwa, kura za kumchagua mwenyekiti zitakuwa za wazi au za siri?? naomba mwenyekujua anisaidie au anieleweshe.
Hiyo ni lazima iwe ya siri kwa kuwa ni ya kumchagua mtu. Ya wazi hutumika ktk maamuzi ya vikao
 
Back
Top Bottom