Naomba kujua maana ya maneno haya na tofauti yake na matumizi yake

Naomba kujua maana ya maneno haya na tofauti yake na matumizi yake

Mono :Sauti inatoka kwenye chanel moja
Sterio: Sauti inatoka kwenye Chanel mbili au zaidi . Left na right ,center
Mfano kwenye mono kama unatumia earphone,pande zote mbili zitakuwa zinatoa sauti zinazofanana kila kitu , ila sterio kila upande unaweza ukatoa sauti tofauti.

 
Well

Kama unavyojua binadamu tuna masikio mawaili. lakini kama upo normal licha ya kuwa na masikio mawili unasikia kitu kimoja. That is Mono

na Stereo ni kuwa na masikio mawili na kusikia vitu viwili, Left kivyake na right kivyake


Mtengenezaji wa audio anaamua either iwe Mono au stereo. na wakati mwingine kuna advance tech zaidi ya hizo mbili yaani 5.1 na kuendelea mbele huko eg. 9.1 or 5.1.2 Nk


Si nirudi kwenye swali lako.

Ukiset kwenye mono, mziki utapiga katikati ya kichwa chako. sababu kinachokia kushoto ndicho kinakia kulia sooo effect inakuwa kati ya kichwa chako


na sterio Mziki unalia kushoto na kulia, lakini kuna baadhi ya vionjo utasikia kushoto na baadhi utasikia kulia
So unapata experience nyingine

Kwa maana rahisi. Mono ni audio file kuwa na track 1 (centre) na stereo ni audio file kuwa na track 2 yaani track moja kushoto na track nyingine kulia
IMG_6670.jpg

Hiyo track ya juu ni sterio na track ya chini ni mono.
 
Back
Top Bottom