Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Habari wana jf,
Nina swali hivi ukitaka kupata Leseni ya gari Class C kwa mtu ambae hana hata leseni yaani akaenda tu veta na moja kwa moja akapata leseni class C kwasababu nasikia mpaka usubiri baada ya miaka kadhaa ndiyo unapanda daraja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina swali hivi ukitaka kupata Leseni ya gari Class C kwa mtu ambae hana hata leseni yaani akaenda tu veta na moja kwa moja akapata leseni class C kwasababu nasikia mpaka usubiri baada ya miaka kadhaa ndiyo unapanda daraja?
Sent using Jamii Forums mobile app