k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Rejea mada tajwa hapo juu,
Naomba kujuzwa namna ya kupika kande mahindi mabichi kwa maharage makavu na kama kuna viungo na vikorombwezo vya kuweka ili yawe na ladha murua.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujuzwa namna ya kupika kande mahindi mabichi kwa maharage makavu na kama kuna viungo na vikorombwezo vya kuweka ili yawe na ladha murua.
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app