Habari wakuu!
Naomba kujua ni Engine oil yenye grade gani inafaa kwenye Toyota harrier ya mwaka 2003 Engine 2AZ-FE 2400cc inayotumia petrol na inatumika hapa dar es salaam,maana nimeona mkanganyiko sana wengine wanasema 10W40 wengine 5W30 wengine 20W50, tupe muongozo wako kitaalam.
Natanguliza shukrani
Naomba kujua ni Engine oil yenye grade gani inafaa kwenye Toyota harrier ya mwaka 2003 Engine 2AZ-FE 2400cc inayotumia petrol na inatumika hapa dar es salaam,maana nimeona mkanganyiko sana wengine wanasema 10W40 wengine 5W30 wengine 20W50, tupe muongozo wako kitaalam.
Natanguliza shukrani