Naomba kujua, ni viwanda vingapi vimejengwa mkoani Singida kati ya mamia ya viwanda vya Awamu ya Tano?

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Uchumi wa Viwanda ilikuwa ni Sera Kuu ya kiuchumi iliyojinasibu JPM Mwaka 2015!

Tumesoma katika mafanikio ya Awamu ya Tano kuwa vimejengwa Viwanda vingi Sana katika Awamu hii.
Kongole kwa CCM!

Binafsi napenda kujua kwa upande wa Mkoa wa Singida hivi Viwanda vimejengwa Vingapi na wapi!?

Ni vema pia tukajua ni Viwanda vya aina gani?
 
Kama serikali ya CCM imeshindwa kuweka matundu ya choo katika shule za msingi na sekondari , hivyo viwanda vinatokea wapi? Au vya ndotoni?
Sijui. Ila hujasoma/kusikia Taarifa za Utekelezaji wa Sera hii. Mimi siamini unachosema. Mimi nataka nijue Viwanda Mkoani Singida!
 
Cha kwanza Ni kiwanda cha uongo Cha Chadema kilichoko singida kinachojulikana kama Tundu Lisu Lying Industry Ltd
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe hivi ndio viwanda vya magufuli. Basi kweli vimefika 3000+. Vipi ajira hamna hapo Lumumba Umbea Processing Ltd?
 
Kiwanda siyo lazima kiwe kikubwa kama unavyowaza. Hata cha alizeti pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…