Naomba kujua, ni viwanda vingapi vimejengwa mkoani Singida kati ya mamia ya viwanda vya Awamu ya Tano?

Ujinga mwingine ...Kama huna la kuchangia kaa kimya
 
Mkuu hizi takwimu hazihusiani na mada yangu!
 
Hesabu eneo ulipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…