Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil

Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil

Meja M

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
628
Reaction score
560
Habari za wakati huu wakuu!

Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil mfano kwa wiki tatu unaweza kuongeza oil mara moja na hakuna leakage yoyote.

Na nini kifanyike ili kuzuia tatizo hili?
 
Habari za wakati huu wakuu!

Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil mfano kwa wiki tatu unaweza kuongeza oil mara moja na hakuna leakage yoyote.

Na nini kifanyike ili kuzuia tatizo hili?
gari inatoa moshi mweupe?
nguvu yake ipo sawa sawa?
ni aina gani ya gari pia
 
Gari inanguvu fresh kabsa na inatoa moshi wa kawaida mkuu, ni bmw 3 series
Ya mwaka gani, na je muda wa kubadilisha engine oil umefika?

kwa kawaida haitakiwi moshi uwepo hasa kwa gari za kisasa
 
Ya mwaka gani, na je muda wa kubadilisha engine oil umefika?

kwa kawaida haitakiwi moshi uwepo hasa kwa gari za kisasa

Ni ya mwaka 2005 , nimebadili oil mwez ulioisha mkuu
 
Habari za wakati huu wakuu!

Naomba kujua nini kinasababisha gari kutumia sana oil mfano kwa wiki tatu unaweza kuongeza oil mara moja na hakuna leakage yoyote.

Na nini kifanyike ili kuzuia tatizo hili?
Kama hamna leakage mahali.. basi hio Oil inaunguzwa pamoja na mafuta... Piston ringi za kuangalia hizo... kuna chances gari yako inatoa moshi wenye weusi angalia vizuri
 
Back
Top Bottom