kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
Habari wana bodi,
Nimejaribu kufuatilia kwenye website ya wizara ya maliasili na utalii kuhusu muongozo wa kuanzisha zoo ila sijapata.
Naomba kujua namna mfumo mzima wa kuanzisha zoo.
Gharama zake zikoje kwa maliasili (kulipia wanyama)
Kwa uzoefu ni eneo kiasi gani lahitajika(recommended) kwa ajili ya kuanzisha Zoo.
Vigezo gani vya jumla serikali inataka ktk uanzishwaji wake
Asante.
Nimejaribu kufuatilia kwenye website ya wizara ya maliasili na utalii kuhusu muongozo wa kuanzisha zoo ila sijapata.
Naomba kujua namna mfumo mzima wa kuanzisha zoo.
Gharama zake zikoje kwa maliasili (kulipia wanyama)
Kwa uzoefu ni eneo kiasi gani lahitajika(recommended) kwa ajili ya kuanzisha Zoo.
Vigezo gani vya jumla serikali inataka ktk uanzishwaji wake
Asante.