Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?
Mkuu ungeuliza tu, au nenda siku nyingine waambie dhumuni hasa la kukupeleka pale mara ya pili, uje utupe mrejesho.Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?
Kuna mashine za automatic air fresheners zinazotumia umeme au betriKuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile
nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa
wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa
ni nini hasa mnatumia?
Wewe mrembo[emoji39][emoji39][emoji39]
Maudi yanafanya hewa kuwa nzito! Mnayaweza wenyewe. Nilienda sehemu nilimshangaa mwenyeji anaishije kwenye hewa nzito kama ile!Nunua udi tu tatizo wabara hawajui manukato si mke wala mume
Mkuu air freshener pekee haifanyi nyumba kunukia kihivyo. Wengi hutumia vyetezo na kuchomea kwa manukato ya kiarabu nenda kwenye maduka ya kiarabu ulizia utazipata. Kwenye gari mimi hutumia air freshener za kijapan inaitwa JDM.
Nini udi au jdm(air freshener ya gari)?Nielekeze nitaipata wapi na bei elekezi. Nipo Dar
Nini udi au jdm(air freshener ya gari)?
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
udi ataita majini alafu zinanuka vibaya sana nyumba inakua kama msikiti .Wanafukiza amma udi (oud) amma perfume.
Zipo perfumes na vitezo vyake za kufukiza. (google "perfume burners").
udi ataita majini alafu zinanuka vibaya sana nyumba inakua kama msikiti .
Nenda maduka yanayouza manukato ya kiarabu nunua chetezo cha gari na udi pia nunua air freshener ya BAHURI. Hio ya JDM inapatikana Japan au www.ebay.comAir fresher ya gari ndugu. Nina gari ndogo.
Jamaa alikua anatumia hii fresher nimeipiga picha. Tatizo haipo sinza kote.
View attachment 1568117
UjingaLengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?
Hata huelewi kinachojadiliwa.Lengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?
tupe mrejeshoAcha kabisa......nilitamani 'kuomba urafiki'
hahaa
nilifika hiyo nyumba for business only....ila ilivyokuwa inanukia nilitamani kujua zaidi kuhusu hilo
Nitakuja kukutembelea mkuu[emoji7]Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.
Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.
Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.
Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.
Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.
Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.
Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.