Sababu zipo,pamoja na
-uzee..
-Kuna mvi za ukoo ( kurithi) hata ukiwa mdogo tu unazo
-Kuna mvi za umri kwenda
-kuna mvi zinazoletwa na kuvurugwa,stress,mawazo nk, hizi hupatikana kwa asilimia kubwa sana.
Najaribu kupata sababu tu, ila sio mtaalam LoL
All in all,mvi sio ugonjwa.
Sometimes zinakupa heshima