Naomba kujua sehemu nayoweza kupata vitenge kwa bei nafuu

Naomba kujua sehemu nayoweza kupata vitenge kwa bei nafuu

Moh04

Member
Joined
May 24, 2015
Posts
12
Reaction score
19
Habari wadau!

Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi?

Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni kuagiza nje naomba kuelekezwa pia procedures za kufata jinsi ya kuagiza ili atleast nipate kwa bei wanayochukulia.

Akhsante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau!

Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi?

Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni kuagiza nje naomba kuelekezwa pia procedures za kufata jinsi ya kuagiza ili atleast nipate kwa bei wanayochukulia.

Akhsante

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtaa fulani mnazi mmoja Kama unaelekea kisutu naonaga maduka mengi ya vitenge
 
Habari wadau!

Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi?

Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni kuagiza nje naomba kuelekezwa pia procedures za kufata jinsi ya kuagiza ili atleast nipate kwa bei wanayochukulia.

Akhsante

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaagiza kutoka burundi
 
Kuna machimbo yao boss, shida ni kuyajua

Kuna uzi ulikuwa unatrend huku ungeupita usingekosa pa kuanzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20241129-WA0000.jpg
 
Habari wadau!

Bei za vitenge Kariakoo (java) wanauza 16,000/= - 18,000/= sometimes hivi wao watakuwa wanachukuwa kwa shilingi ngapi?

Kama kuna mtu mwenye uzoefu naomba anielekeze au hata kama ni kuagiza nje naomba kuelekezwa pia procedures za kufata jinsi ya kuagiza ili atleast nipate kwa bei wanayochukulia.

Akhsante

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20241129-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom