Naomba kujua stahiki anazostahili kupewa Mtu aliyefanyiwa Retrenchment

Naomba kujua stahiki anazostahili kupewa Mtu aliyefanyiwa Retrenchment

malija

Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
16
Reaction score
15
Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba kufahamu stahiki anazotakiwa kulipwa mtu aliyefanyiwa" retrenchment" na bado ana mkataba.

======

Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba kufahamu stahiki anazotakiwa kulipwa mtu aliyefanyiwa" retrenchment" na bado ana mkataba.
Tukianza na Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 38 ukitaka kupunguza wafanyakazi au mfanyakazi unatakiwa kufuata utaratibu ufuatao
kinaitishwa kikao cha wafanyakazi ili kuwapa taarifa au kunakuwa na notisi ya kimaandishi ikionesha lengo la kupunguza wafanyakazi na watatumia mbinu ipi ya kupunguza wafanyakazi itatumika wanatumiaga ile waliokaa muda mrefu ndio waondolewe au wale wapya waliokaa muda mchache ndio waondolewe

Lakini katika iyo notes inatakiwa kuambatanisha na sababu

Kifungu cha 44 kinaeleza stahiki za kulipwa ambazo ni
Mshahara wa siku ulizofanya kazi
likizo ya mwaka
likizo ambazo hukuwa kuchukua
malipo ya notisi
malipo ya kiinua mgongo
usafiri mfano uliajiriwa dar ukapelekwa mbeya unatakiwa kulipwa usafiri wa kurudi Dar

kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 kifungu cha 23 nacho kinaelezea utaratibu na stahiki ambazo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 ambazo mfanyakazi anatakiwa kulipwa ila inatakiwa kupewa kipaumbele wale waliopunguzwa kurudishwa tena kazini ila kwa stahiki ni hizo hapo juu.
 
Eleza vizuri hiyo retrenchment imefanyikaje?

Onana na mawakili ukawaeleze hayo badala ya kupiga ngonjera mitandaoni!

Unataka usaidiweje mtandaoni labda? Kwa KUCHATI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau natumai ni wazima wa afya njema,naomba kufahamu stahiki anazotakiwa kulipwa mtu aliyefanyiwa" retrenchment" na bado ana mkataba.

Tukianza na Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 38 ukitaka kupunguza wafanyakazi au mfanyakazi unatakiwa kufuata utaratibu ufuatao:

kinaitishwa kikao cha wafanyakazi ili kuwapa taarifa au kunakuwa na notisi ya kimaandishi ikionesha lengo la kupunguza wafanyakazi na watatumia mbinu ipi ya kupunguza wafanyakazi itatumika wanatumiaga ile waliokaa muda mrefu ndio waondolewe au wale wapya waliokaa muda mchache ndio waondolewe

Lakini katika iyo notes inatakiwa kuambatanisha na sababu

Kifungu cha 44 kinaeleza stahiki za kulipwa ambazo ni
Mshahara wa siku ulizofanya kazi
likizo ya mwaka
likizo ambazo hukuwa kuchukua
malipo ya notisi
malipo ya kiinua mgongo
usafiri mfano uliajiriwa dar ukapelekwa mbeya unatakiwa kulipwa usafiri wa kurudi Dar

kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 kifungu cha 23 nacho kinaelezea utaratibu na stahiki ambazo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 ambazo mfanyakazi anatakiwa kulipwa ila inatakiwa kupewa kipaumbele wale waliopunguzwa kurudishwa tena kazini ila kwa stahiki ni hizo hapo juu.
 
Tukianza na Sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 kifungu cha 38 ukitaka kupunguza wafanyakazi au mfanyakazi unatakiwa kufuata utaratibu ufuatao:

kinaitishwa kikao cha wafanyakazi ili kuwapa taarifa au kunakuwa na notisi ya kimaandishi ikionesha lengo la kupunguza wafanyakazi na watatumia mbinu ipi ya kupunguza wafanyakazi itatumika wanatumiaga ile waliokaa muda mrefu ndio waondolewe au wale wapya waliokaa muda mchache ndio waondolewe

Lakini katika iyo notes inatakiwa kuambatanisha na sababu

Kifungu cha 44 kinaeleza stahiki za kulipwa ambazo ni
Mshahara wa siku ulizofanya kazi
likizo ya mwaka
likizo ambazo hukuwa kuchukua
malipo ya notisi
malipo ya kiinua mgongo
usafiri mfano uliajiriwa dar ukapelekwa mbeya unatakiwa kulipwa usafiri wa kurudi Dar

kanuni za ajira na mahusiano kazini mwaka 2007 kifungu cha 23 nacho kinaelezea utaratibu na stahiki ambazo kwa mujibu wa sheria ya ajira na mahusiano kazini mwaka 2004 ambazo mfanyakazi anatakiwa kulipwa ila inatakiwa kupewa kipaumbele wale waliopunguzwa kurudishwa tena kazini ila kwa stahiki ni hizo hapo juu.
Malipo ya notice ni kama yapi? je kwa mtu mwenye mkataba maalumu..amebakiza muez kama 6 mktaba kuisha na ikatike retrechment ya watu 20 kati ya 200 anaweza kulipwa mshahara wa hiyo miezi iliyibaki?
 
Tanzania kuanzia katiba ,hiyo sheria za utumishi zipo tu ila hwafuati ukiachana retrenchment unaweza kupata transfer na usilipwe mpaka mnaingia kweny mgogoro.


Tanzania sheria hazifuatwu hata kidogo ,zipo tu kama bosheni ukimpeleka mtu kisheria basi mshakuwa maadui..

Mimi nilihamishwa kazi sikupata hata mia yaani ,nilipowaambia wakasema eti wapenda pesa kuliko kazi nikaachana nao sijui wanapata faida gani.
 
Back
Top Bottom