Naomba kujua tafadhalini!!!

Sinai

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
288
Reaction score
47
Hivi huyu mtu aliyejulikana kwa jina la Mr. Nice kajichimbia wapi siku hizi? Maana hasikiki kabisa, au ndo zile nyimbo za watoto alizokuwa akiimba zimemwishia na hivyo hana ubavu wa kutunga mpya?
 
siku hizi ana bendi yake inatumbuiza pale masai club
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…