Naomba kujua tiba ya kuondoa makovu usoni

Naomba kujua tiba ya kuondoa makovu usoni

Kileo seif

Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
57
Reaction score
26
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
 

Attachments

  • 1475228870138.jpg
    1475228870138.jpg
    25.4 KB · Views: 312
Dawa nyingine maana nilitumia dawa nikaongezeka kuwa mweupe wakat mm ni mweupe wa kawaida
 
Hilo nalo ni kovu?Jamani jamani [emoji86] [emoji86]
 
Achana nalo, au unataka urudi kama mwanzo...
 
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari


Mtafute maimartha atakusaidia.
 
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
acha kuwaza uzuri we wa kiume
 
Hakuna cha kovu ni la kawaida sana mm nilizani bonge la kovu kumbe hako iache hiyo ni alama ykk
 
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
Na ww nae hilo ni kovu ss,au unataka uwe kama mtt Tunda
 
Back
Top Bottom