Naomba kujua tofauti ya hizi Suzuki mbili

Naomba kujua tofauti ya hizi Suzuki mbili

IsaacMG

Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
79
Reaction score
105
Hapo nimeweka Suzuki Escudo mbili sasa mimi sio mtaalam sana wa magari ila navutiwa sana na Suzuki hizi ila kulingana sifa zake za uimara ninazozikia kwa wanaozimiliki sasa nataka na mm nichukue Moja wapo je ipi ni model nzuri kati ya hiyo nyekundu au hiyo blue?

Naombeni ushauri wenu kwa wataalam wa hizi gari mbili kwenye picha.

IMG_20240618_171519.jpg
IMG_20240618_171502.jpg
 
Apana mm ni kanda ya ziwa huko ila nimetokea kuzikubali hizi gari ndo gari yangu ya kwnz kumiliki kwahyo nataka nianze gari ngumu
 
kwa kuangalia nahisi hiyo ya blue ina engine ya V6 na hiyo nyekundu ina 4 cylinder G16 engine .

Ukiachana na masuala ya kwenda na fashion na kuskiza watu wakisema ni gari za wazee, Hizo gari ni imara na pia ni stahimilivu kwenye barabara mbovu pia 4wd yake iko vizuri.

Ila tafuta yenye engine ya G16 yenye cc 1590 hata ulaji wake wa mafuta ni mzuri.

Kama imekuvutia chukua, ukiskiza ya watu hutamiliki gari bro
 
Daah Mungu atusaidie wanasiasa siku moja wakiamka huko Bungeni wapunguze kodi za magari tuache kufikiri kutumia na kujadili hizi gari ambazo tunafanana nazo Umri...
 
Nilimiliki hiyo ya chini miaka 20 iliyopita
 
Ya juu inakuwa na engine 2.0l au 2.4v6 ya chini ni 1.6l zote ni jiwe
 
Back
Top Bottom