Au mzee mstaafuBila shaka ww ni Mchagga....
Km ngapi kwa lita?Chukua hiyo nyekundu ya G16 hutojuta ina cc 1590 , niliuza kama Hy then nikanunua kama hy
Ukianza kufikiria maswali kama haya, jua wakati wako wa kumiliki gari bado. Bora pambana na BodabodaKm ngapi kwa lita?
Jibu swaliUkianza kufikiria maswali kama haya, jua wakati wako wa kumiliki gari bado. Bora pambana na Bodaboda
Pisi kali hizi hizi zinazopanda hadi kirikuu?Hizo gari ni nzuri Kwa kuhimili ubovu wa miundombinu yetu.lakini Kwa kijana haimfai maana pisi Kali zitakuwa zinajua huyo ni mzee na ni bahilii
[emoji1787][emoji1787]Pisi kali hizi hizi zinazopanda hadi kirikuu?