lastBorn raY
Member
- Apr 18, 2023
- 19
- 47
By professional ni accountant but nmepata fursa ya kusoma Coding. Naomba kujua how they relate. Kwa career yangu PYTHON itanifaidisha vipi?
Naombeni mchanganuošš¼
Naombeni mchanganuošš¼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Career sio carrier.By professional ni accountant but nmepata fursa ya kusoma Coding. Naomba kujua how they relate. Kwa carrier yangu PYTHON itanifaidisha vipi?
Naombeni mchanganuošš¼
Python inaweza kukusaidia kuandaa good excel files na kufanya automation ya many formulas. Mimi naitumia katika PPL(Production Planning and Logistics). Pia kuna baadhi ya wahasibu wanaitumia lakini ni kwa makampuni makubwa yenye data nyingi.By professional ni accountant but nmepata fursa ya kusoma Coding. Naomba kujua how they relate. Kwa carrier yangu PYTHON itanifaidisha vipi?
Naombeni mchanganuošš¼
Ndo wanaita system automation sio?Python inaweza kukusaidia kuandaa good excel files na kufanya automation ya many formulas. Mimi naitumia katika PPL(Production Planning and Logistics). Pia kuna baadhi ya wahasibu wanaitumia lakini ni kwa makampuni makubwa yenye data nyingi.
Yaani kuna file kubwa la excel we unakuwa unaingiza data na kila kitu kinajicalculate. Excel inaeza kufanya hiyo lakini kwa complex files na data unahitaji kutumia python.Ndo wanaita system automation sio?
Binafsi me by career ni banker and financial services, Ila nimesoma html na css niwe vizur kwenye front end, ila before niliaza soma python for back end, ila shauku ya kukamilisha systems zangu nimepata shauku ya kusoma front end, ila python na finance ni Pete na kidole vinaendana hasa kwenye SQL (data analysis) pia fintec, accounting apps, na kadhalikaHapana hakuna relationship hapo..
Yaani labda achana na account kasome tena web development nk ila kwa account hakuna