Joasi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 766
- 674
Habarini Wanajamvi.
Naombeni ushauri wenu kwa wale walioisha watumia be forward Tanzania kama clearing agent wao wa magari vipi huduma zao zikoje maana kunawanao wasifia na engine wanasema hawapo vizuri kabisa.Tafadhali kama wewe ni mfanyakazi wao naomba usicomment ili nipate mawazo huru.
naomba mawazo yenu yajikite kwenye:
1.Gharama
2.Kama ni wasumbufu au laa
3.Ushirikiano na mteja
4.Kama wanafanya delay zisizo na msingi au laa
5.etc
Asante.
Nawaza kuwatumia wao kama clearing and fowarding company.
Udhoefu wenu tafadhali.
Naombeni ushauri wenu kwa wale walioisha watumia be forward Tanzania kama clearing agent wao wa magari vipi huduma zao zikoje maana kunawanao wasifia na engine wanasema hawapo vizuri kabisa.Tafadhali kama wewe ni mfanyakazi wao naomba usicomment ili nipate mawazo huru.
naomba mawazo yenu yajikite kwenye:
1.Gharama
2.Kama ni wasumbufu au laa
3.Ushirikiano na mteja
4.Kama wanafanya delay zisizo na msingi au laa
5.etc
Asante.
Nawaza kuwatumia wao kama clearing and fowarding company.
Udhoefu wenu tafadhali.