Naomba kujua ushuru wa chombo cha moto

Mwanza kwetu pia

Senior Member
Joined
May 25, 2021
Posts
104
Reaction score
151
Habari zenu wadau, bila kupoteza mda naomba kujulishwa gharama za ushuru zinavyokuwa iwapo nitanunua gari au mashine kutoka kwa mtu nchini Kenya ambayo ni used ilikuwa inatumika na mkenya, ushuru unakuwaje mfano labda nimenunua gari milion 20 za kitanzania nchini Kenya na linatakiwa livuke mpaka lije bongo.

Nasubiri majibu wajuzi karibuni [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…