Naomba kujua utaratibu wa kupata nafasi ya Internship kwa mwanafunzi anayemaliza mwaka wa 5 udaktari

Naomba kujua utaratibu wa kupata nafasi ya Internship kwa mwanafunzi anayemaliza mwaka wa 5 udaktari

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habarini ndugu zangu. poleni na majukumu..

nina mdogo wangu mwaka huu anamaliza chuo course ya udaktari mwaka wa 5, baada ya hapo anatarajia kupangiwa hospitali kwaajili ya kufanya internship, kuna uwezekano akapangiwa hospitali zanje ya mkoa wa DAR ES SALAAM maana kwa sasa anasoma chuo nje ya DAR ES SALAAM na mipango yetu kama familia tungependa aje afanyia INTERNSHIP yake hapa hapa mkoa wa DAR ES SALAAM.

MASWALI NA USHAURI WENU WANA JAMIIFORUM:

1. Utaratibu wa kupata nafasi kupitia mifumo yako uwa upoje?
2. Na kama atapangiwa nje ya mkoa wa DAR ES SALAAM je kuna uwezekano\namna ya kufanya ili apate nafasi aje afanyie uku DAR ES SALAAM ?
3. Utaratibu wa kufanya ayo maombi uwa ni unaanza mwezi gani na unafanyika kupitia mfumo gani?
4. Ushauri mwingineo unapokelewa, ila kikubwa tunataka aje afanyie INTERNSHIP yake hapa DSM

Karibuni kwa majibu na ushauri
 
Habarini ndugu zangu. poleni na majukumu..

nina mdogo wangu mwaka huu anamaliza chuo course ya udaktari mwaka wa 5, baada ya hapo anatarajia kupangiwa hospitali kwaajili ya kufanya internship, kuna uwezekano akapangiwa hospitali zanje ya mkoa wa DAR ES SALAAM maana kwa sasa anasoma chuo nje ya DAR ES SALAAM na mipango yetu kama familia tungependa aje afanyia INTERNSHIP yake hapa hapa mkoa wa DAR ES SALAAM.

MASWALI NA USHAURI WENU WANA JAMIIFORUM:

1. Utaratibu wa kupata nafasi kupitia mifumo yako uwa upoje?
2. Na kama atapangiwa nje ya mkoa wa DAR ES SALAAM je kuna uwezekano\namna ya kufanya ili apate nafasi aje afanyie uku DAR ES SALAAM ?
3. Utaratibu wa kufanya ayo maombi uwa ni unaanza mwezi gani na unafanyika kupitia mfumo gani?
4. Ushauri mwingineo unapokelewa, ila kikubwa tunataka aje afanyie INTERNSHIP yake hapa DSM

Karibuni kwa majibu na ushauri
Mnamdekeza kiasi hicho?
 
Kwani hizo taratibu c huwa zinapangwa na chuo au ndo mimi nimepitwa.. pia wanalipwa kwenye hyo kazi why ulazimishie akae dar
 
Umeandika kama Huyo dogo ni miaka mi8 hivi, internship zina utaratibu wake wakuchagua vituo huwa vinawekwa na wao wanajua kila kitu kuhusu hivyo vituo na idadi ya watu kila kituo kumbuka sio kila Hospitali inapokea Interns zipo zilizokidhi na wao kuwa na utayari wa kupokea hao interns kinachonishangaza unauliza sahivi wakat watu wameshaanza interns toka November huko au alikuwa na sup/carry basi ataanza Mwezi May
 
Hapo sijajua ni wewe au huyo mdogo wako ndiyo ana taka kujua..

Naamin ni wewe unayetaka kujua.. maana kwa wanafunzi hilo ni jambo dogo sana .. wana lifahamu vyema..

Kama ni wewe unayetaka kujua fahamu haya.
1. Kama ata fanikiwa kumaliza salama masomo yake ya chuo chake.. ata lazimika kufanya mtihani wa taifa wa upimaji unaitwa pre-intern
2. Kwa siku hizi hata aki feli ata endelea kusubiri dirisha la ku apply lifunguliwe.. ambapo huwa ni mfumo wa kuwahi. So muda wote awe karibu na wenzie au awe anachungulia mtandaoni kama pame funguliwa..
3. Akisha pata mahali hapo anae enda ku report na kuanza kulipwa mshahara mnono wa milioni na ushee
4. Pia kama ata kosa dar.. ana weza kuomba kuhamia hospitali za dar mara baada ya ku report huko mkoani
5. Pia suala la intern kwa huyo mdogo wako ni mtu mzima huyo muacheni aende anako taka.. ule mshahara wa intern ni mkubwa sana kuliko hata wa dr. Wa kawaida wao hawakatwi kodi wala .. anaweza kumudu maisha hata akiwa hospitali za sikonge huko.
 
Mdogo wangu wa mwisho ameanza internship mwezi wa 11 mwaka huu na hatukuwahi kuhangaika nae kwa chochote zaidi ya kutupa update wa kinachoendelea kwa maana ni mtu mzima anaejiandaa na kazi sasa nakushangaa wewe unauliza maswali as if ni mtoto anaeenda kuanza form one. Shame on you.
 
Hapo sijajua ni wewe au huyo mdogo wako ndiyo ana taka kujua..

Naamin ni wewe unayetaka kujua.. maana kwa wanafunzi hilo ni jambo dogo sana .. wana lifahamu vyema..

Kama ni wewe unayetaka kujua fahamu haya.
1. Kama ata fanikiwa kumaliza salama masomo yake ya chuo chake.. ata lazimika kufanya mtihani wa taifa wa upimaji unaitwa pre-intern
2. Kwa siku hizi hata aki feli ata endelea kusubiri dirisha la ku apply lifunguliwe.. ambapo huwa ni mfumo wa kuwahi. So muda wote awe karibu na wenzie au awe anachungulia mtandaoni kama pame funguliwa..
3. Akisha pata mahali hapo anae enda ku report na kuanza kulipwa mshahara mnono wa milioni na ushee
4. Pia kama ata kosa dar.. ana weza kuomba kuhamia hospitali za dar mara baada ya ku report huko mkoani
5. Pia suala la intern kwa huyo mdogo wako ni mtu mzima huyo muacheni aende anako taka.. ule mshahara wa intern ni mkubwa sana kuliko hata wa dr. Wa kawaida wao hawakatwi kodi wala .. anaweza kumudu maisha hata akiwa hospitali za sikonge huko.
Huyo mdogo wake atakuwa mwaka wa pili au tatu sasa anataka kujua taratibu, lakini kwa mwanafunzi aliyemaliza mwaka wa 5 na kufaulu mitiani pamoja na pre intern hawezi kusaidiwa kuuliza maswali kama hayo.
 
Back
Top Bottom