Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
samahani wana jf naomba mwenye kujua taratibu za mtumishi wa umma kuomba msamaha wa kodi kama ameagiza gari nje ncihi naomba kuwasilisha
Samahani wana jf,
Naomba mwenye kujua taratibu za mtumishi wa umma kuomba msamaha wa kodi kama ameagiza gari nje ncihi naomba kuwasilisha.
uvivu wa kuperuzi, kuna uzi ambao umefunguliwa jana jamaa anauliza same question, na wewe bila hata ku-search kidogo umekurupuka kuanzisha uzi. kumbuka JF ina umri wa mtu mzima sasa vitu vingo vilishajadiliwa so hakuna ulazima wa kuanzisba uzi mpya huko ni kujaza tu server.
hebu copy hiyo link peleka kwenye url utapata majibu ya maswali yako.
https://www.jamiiforums.com/habari-...iza-gari-atapunguziwa-kodi-3.html#post9572095
Wadau nashukuru gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa michango yenu ya kimawazo kuhusu swala hili.
Utupe lift basi ukituona.