Naomba kujua utatuzi wa huu mgogoro uliopo kati ya mwenye nyumba na mpangaji

Naomba kujua utatuzi wa huu mgogoro uliopo kati ya mwenye nyumba na mpangaji

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Hapa chini ni barua ya notisi iliyotoka kwa mwenye nyumba kwenda kwa mpangaji. Notisi imetolewa ya miezi mitatu ila inasoma baada ya mkataba wao wa awali kukamilika. Kwenye hiyo notisi, mwenye nyumba anataka malipo ya kodi ya miezi mitatu ya kwenye hiyo notisi, huku mpangaji akigoma kulipa kodi kwavile kaishapewa notisi. Je yupi yupo sahihi?
IMG_20240707_192417.jpg
 
Anataka akae bure? Notice inasaidia mda wa kujiandaa tu sio kibali cha kukaa bure
 
Anataka akae bure? Notice inasaidia mda wa kujiandaa tu sio kibali cha kukaa bure
Wengi awalijui ilo, wamekalili kwamba notisi inaendana na kukaa bure, tena huyo amekosea,ilitakiwa mkataba wa awali ueleze taratibu zote za notisi
 
Mwenye Nyumba wangu itakuwa hana njaa, nakumbuka aliwarudishia kodi wapangaji wawili wote walikuwa na mikataba ya miezi sita sita,

mmoja alikuwa kakaa mwezi mmoja hivyo akarudishiwa kodi ya miezi mitano,
mwingine alikuwa kakaa miezi miwili hivyo akarudishiwa kodi ya miezi minne,
kisha akawapa mwezi mmoja wakae bure huku wakilipia huduma ndogo ndogo
 
Back
Top Bottom