Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umejuaje ni ME...😂ila mwambie ajitenge na mademu.
rtttttttttttttttumejuaje ni ME...😂
Mzee Kama ni wewe Sema tu....! Kuzungusha jambo la Kawaida hilo..! Elimu za ukubwani zinaeleweka!Habari
Nina mdogo wangu alimaliza 2020 Sasa naona ameonja onja makali ya kitaa anataka nimpeleke Tena shule
So Kama unajua kituo kizuri kwa masomo ya sayansi chenye maabara kabisa nitashukuru ukinijulisha pia na Ada zao za tuition
Ahsante
dongo sio la kwangu ila nimejisikia vibaya...🙌Mzee Kama ni wewe Sema tu....! Kuzungusha jambo la Kawaida hilo..! Elimu za ukubwani zinaeleweka!
Habari
Nina mdogo wangu alimaliza 2020 Sasa naona ameonja onja makali ya kitaa anataka nimpeleke Tena shule
So Kama unajua kituo kizuri kwa masomo ya sayansi chenye maabara kabisa nitashukuru ukinijulisha pia na Ada zao za tuition
Ahsante
Yes tufanye ni Mimi mkuu nitazipata wapi hizo center?Mzee Kama ni wewe Sema tu....! Kuzungusha jambo la Kawaida hilo..! Elimu za ukubwani zinaeleweka!
Kuna watu bado wanarist ? Kwa upande wangu mm nakushauri usipoteze pesa na kumpotezea mda huyo Ndugu yako kama alishindwa kupata C3 miaka4 je mwaka mmoja ataweza na masomo yenyewe science Bora umpeleke VETA ajipatie ujuzi kuliko kujipinda kukariri formulasHabari
Nina mdogo wangu alimaliza 2020 Sasa naona ameonja onja makali ya kitaa anataka nimpeleke Tena shule
So Kama unajua kituo kizuri kwa masomo ya sayansi chenye maabara kabisa nitashukuru ukinijulisha pia na Ada zao za tuition
Ahsante
Samahani boss, naomba unjelekeze kilipo au namba zao. Namba yangu ni 0652074075buguruni
Nenda buguruni sheli ulizia shule ya msingi hekima hapo utakuwa umefika utahudumiwa vizuriSamahani boss, naomba unjelekeze kilipo au namba zao. Namba yangu ni 0652074075