Wakuu naomba kujua wenye uzoefu na hii biashara ya printing ya vitu mbalimbali kama vikombe,nguo mbalimbali,mabango makubwa na madogo na vitu kama hivyo,naomba kujua kuhusu aina za printing, natakiwa kuwa na mtaji wa kiasi gani na vifaa vya aina gani .
Nawasilisha