UPUNGUFU WA NGUVU ZA …………………..
Hii ni awamu ya pili, ingawa sikupata maelezo yoyote ktk ile awamu ya kwanza , kuonyesha matokeo na mabadiliko, ila kwa mtu mmoja tu alipata matokeo mazuri wengine mlikaa kimya. Naanza ;
T umia mchanganyiko maalum wa tende, maziwa ya mbuzi na unga wa hiriki, hii ni zaidi ya Viagra.
1. Chukua kiganja kimoja cha tende, loweka kwenye maziwa ya mbuzi lt moja acha vikae usiku kucha.
2. Koroga mchanganyiko huo siku ya pili hadi upate rangi moja.
3. Weka asali kiasi cha vijiko 3 hadi vinne vikubwa , chukua unga wa hiriki kijiko cha chai changanya pamoja, koroga mchanganyiko huo kwa sana.
Unaweza sasa kuanza kutumia ; kunywa nusu kukombe asubuhi na jioni , utaanza kuona mabadiliko kuanzia siku ya pili ana tatu, endelea kutumia hadi utakapo jihisi uko safi, yaani one kick unavuta mafutaaaaaaaaaaaa hadi dk 25 ndo unabadili gia…………..