Naomba kujua

Naomba kujua

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Leo katika Star TV, nimemsikia na kumwona Mrisho Mpoto akisema kuwa uchumi wa marekani unategemea wasanii na usanii kwa asilimia 50%!!!!!!!!!!!!!!!!!!JAMANI HII NI SAWA, THIS IS QUITE NEW NEWS TO ME
 
kwani wewe hujui watanzania ni walopokaji tu,ukimuuliza hana source yeyote.
 
Ni kweli lakini si kwa hiyo % make hapo ameenda mbali sana, sasa kama Wasanii ni 50% je Viwanda? je kilimo? Je Techinolojia?
 
Leo katika Star TV, nimemsikia na kumwona Mrisho Mpoto akisema kuwa uchumi wa marekani unategemea wasanii na usanii kwa asilimia 50%!!!!!!!!!!!!!!!!!!JAMANI HII NI SAWA, THIS IS QUITE NEW NEWS TO ME

Anaota yule. Marekani wana far way big & successful investments all over the globe ??..ningekua ww ningebadili channel hapo hapo !! #hahahaha ndezi kweli.
 
Back
Top Bottom