Kama mtu umeajiliwa na kupewa muda wa probation na kwa sasa ni miezi miwili imepita na mwajili wako hajasema lolote either kuongeza muda wa probation au vinginevyo.
Je ni hatua gani kisheria mwajiliwa anaweza chukua dhidi ya mwajili ?
Kwa kawaida mda wa probation ukiisha autonatically unakuwa na mkataba kamili wa ajira (wa kudumu). Kama mwajiri hajatoa mkataba wa ajira ya kudumu (au kwa mda fulani, kutegemea na mahali pa kazi),mwajiriwa ana kila sababu na haki ya kudai mkataba huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.