NAOMBA KUJULISHWA, NILIKUWA SIPO.

NAOMBA KUJULISHWA, NILIKUWA SIPO.

Challya

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2019
Posts
469
Reaction score
606
Oyaaa wanaume wenzangu eeehh. Naomba mnijulishe makubaliano ya kikao cha mwisho kilichofanyika, mimi niliomba ruhusa kwa Mwenyekiti kutokana na kubanwa na majukumu. Mimi huwa nahudhuria vikao vyote vya sisi wanaume ila hiki cha mwisho tu ndio nimekosa. Sasa ebu naomba mnijulishe mambo yaliyokubaliwa na kupitishwa katika hiki kikao cha mwisho ili mwenzenu nisije dhalilika kwa kutofanya tuliyokubaliana!!!
 
Oyaaa wanaume wenzangu eeehh. Naomba mnijulishe makubaliano ya kikao cha mwisho kilichofanyika, mimi niliomba ruhusa kwa Mwenyekiti kutokana na kubanwa na majukumu. Mimi huwa nahudhuria vikao vyote vya sisi wanaume ila hiki cha mwisho tu ndio nimekosa. Sasa ebu naomba mnijulishe mambo yaliyokubaliwa na kupitishwa katika hiki kikao cha mwisho ili mwenzenu nisije dhalilika kwa kutofanya tuliyokubaliana!!!
Agenda zilikuwa nyingi sana
Nakumbuka kama mbili tu
1. Usioe kabla hujala mzigo
2. Usitoe siri za mkeo kwa mchepuko au kwa watu wengine; Ni utovu wa nidhamu na ufala.
3. Usimuaibishe mkeo kwa kutembea na house girl.
4. Tuoe ili kuokoa jahazi la wanawake. Maisha ndiyo haya haya hakuna kingine kitakachobadilika.

Zingine subiri wachangiaji wanakuja
 
Agenda zilikuwa nyingi sana
Nakumbuka kama mbili tu
1. Usioe kabla hujala mzigo
2. Usitoe siri za mkeo kwa mchepuko au kwa watu wengine; Ni utovu wa nidhamu na ufala.
3. Usimuaibishe mkeo kwa kutembea na house girl.
4. Tuoe ili kuokoa jahazi la wanawake. Maisha ndiyo haya haya hakuna kingine kitakachobadilika.

Zingine subiri wachangiaji wanakuja
Tuache kuwaumiza O degree
Au kuwala 0713
Iwe mwiko
 
Back
Top Bottom