pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habar wakuu samahan nataka kununua shamba ambalo halijawahi limwa hata mara moja ambalo ni pori naanza kufyeka naomba kujunzwa maeneo ambayo nitapata kununua kwa bei poa na taratibu za kufuata ningependelea maeneo ya Kisarawe Bagamoyo Tanga Morogoro Kibaha Same Karatu nk