Naomba kujuwa kama MOI wanafanya upasuaji wa Magoti

Mbunifu 11

Senior Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
104
Reaction score
52
Wakuu salama,naomba kujuwa kama pale MOI wanafanya upasuaji wa Magoti,yaani knee replacement, wanakubali bima ya afya, NHIF au wa nafanya kwa cash? Msaada wakuu kwa anayejejuwa swala hili
 
vyote hivyo vipo, ni wewe tu kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…