Naomba kujuwa maana ya Neno UGATUZI

DSpecial

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2011
Posts
482
Reaction score
160
Nilisikia linatumika kwenye vyombo vya habari, lakini hadi sasa nimejitahidi kujuwa
maana halisi ya hili neno lakini sikufanikiwa. Lakini nahisi Wazanzibar wanafahamu vizuri maana naona lilitumika sana na viongozi wa Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…