Nawasalimu nyote!
Mada hapo juu yahusika!
Kwa kufahamu kuwa wapo waalimu wa vyuo vya Kati humu ndani, ambao awali walikuwa wanafundisha shule za Sekondari, nimeona nilete ombi hili la kuwasihi walete namna mbalimbali ambazo wao ziliwawezesha kuingia huko!
Je, walifanyaje kuhamia vyuo vya diploma?
Natanguliza shukrani!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mada hapo juu yahusika!
Kwa kufahamu kuwa wapo waalimu wa vyuo vya Kati humu ndani, ambao awali walikuwa wanafundisha shule za Sekondari, nimeona nilete ombi hili la kuwasihi walete namna mbalimbali ambazo wao ziliwawezesha kuingia huko!
Je, walifanyaje kuhamia vyuo vya diploma?
Natanguliza shukrani!
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app