Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu aulizae si anataka jua na sio kwambaa ni mimi nae taka soma hapana.WAKATI MWINGINE USIJICHOCHE UJUAJI KAMA SIO MJUAJIUnachagua course na huijui ndio shida yake..
Hiyo course kama hujui hata inahusiana na nini usiisome utaenda Kudisco au tutaendelea kuwa na GRADUATE wajinga wajinga ktk soko.
Niko na dogo hapa anaisoma anaingia mwaka wa pili naona wanasoma sana mambo ya system security.Jamanii naomba msaada kwa wanaofahamu hii kozi na soko lake hapa nchini. Na je inahusiana na nini hasa
Sio ujuaji.. elimu yetu hapa TZ wengi tunasoma kwa mkumbo hatujui exactly nini tunataka.Sasa ndugu aulizae si anataka jua na sio kwambaa ni mimi nae taka soma hapana.WAKATI MWINGINE USIJICHOCHE UJUAJI KAMA SIO MJUAJI
😂 😂 😂Ila naona ana mawazo ya hacking tu na haamini kila kitu amejaza mapassword kama vile ana data za thamani.